Saturday, November 3, 2012

JANA KWENYE SOSO KINA KIREFU FRESH, TULIPATA FURSA KUI REVIEW KWA MARA YA KWANZA ALBUM YA MANSULII NDANI YA THE PEOPLE'S STATION CLOUDS FM


Kila mmoja In da studio aliifurahia Album hii, na hicho ndo kitu kizury bout Hip Hop, Mc's wanaumiza vichwaaaa

Fundi Mitambo Gossip Cop Soudy Brown

Sinza Star, Mzee wa Nanjilinji/ Mansulii akiichambua Album ya Kina Kirefu ha ha Ni Bonge Moja ya Album track afta track haina Kuskip hiyo

"Aaaaah...Jamani Bullah" The All Weather Dj, Dj Bullah kwenye Madudez Unlimited

Baada ya Dommy Kuibua Hoja ya Uhalali wa CD ya Mansulii kuitwa Mixtape badala ya Album, Mwanadada Antu Mandoza akaona Bora Apige Chabo kwenye Google, Ha ha ha

Tiririkaaaaaaaaaa

Mtu mzima Dommy Baada ya Kuskiza Baadhi ya Ngoma Midadi Ikampanda akaona Bora Asimame Tu #Ah....MamboYaBinadamuHayo

Fundi Mitambo Gossip Cop Soudy Brown #Akinonihino
                                               Picha kwa Hisani ya Edwin Elinema wa DjFetty.blogspot.com
Skiza Brand New Track kutoka kwa Mansulii ft Max , inaitwa Shabiki Enjoy:
 

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.