Mwanamuzi, Rogers Lucas ambaye atatoa burudani katika utoaji wa tuzo za Wapendanao akionesha umahiri wake wa kupiga gitaa wakati wa kutangaza tuzo kwa wapendanao zilizoandaliwa na Kampuni ya Tanzania Music Power Entertainment ya jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Phabian Duwe na Meneja wa TMPE, Evelyn Munisi.
TUKIO
HILI LITAFANYIKA SIKU YA WAPENDANAO, ALHAMISI HII YA TAREHE 14FEB 2013 KATIKA
HOTEL YA DEMAG, KIINGILIO KWA COUPLES NI SH.70, 000/= AMBAYO ITAJUMUISHA NA BUFEE,
VINYWAJI, KUOGELEA NA COACK TAIL NA SINGLE SH, 50,000/= TU. KUTAKUWA NA BURUDANI YA MUZIKI WA LIVE,
KUTOKA KWA MSHINDI WA PILI KATIKA SHINDANO LA BSS 2011 ROGERS LUCAS AMBAYE ATAPIGA
GITAA LAKE LIVE NA SURPRISE ZINGINE KIBAO NA ZAWADI.
MNAKARIBISHWA
MNO.