Tuesday, April 23, 2013

YOU HEARD: MTANGAZAJI WA RADIO MAARUFU AONEKANA KWA MGANGA WA KIENYEJI AKICHUKUA KIZIZI CHA KUWA NASA MADEM

Leo Kwenye Gazeti La Makorokocho / You Heard ya XXL story ilikua inamhusu mtangazaji wa Radio flani, baada ya kuona kuna mwanadada anampiga kibuti, basi akaona dawa yake ni kumtafuta mtaalamuna wa masuala ya jadi jadi ili aweze kupatiwa kizizi, ndipo akamshtua shuhuda wetu wa Iringa amsaidie akasafiri kutoka Dar es salaam mpaka IRINGA, mama mmoja akamsaidia kumpeleka kwa mganga wa kienyeji, hatimaye mtangazaji wa radio maarufu bongo akasaidiwa, zaidi skiza hapo chini

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.