Leo DJ Maarufu kwa jina la G LOVER yeye pamoja na wife wake wametimiza miaka 17 ndoa yao, DJ G LOVER ni mwanzilishi wa record label kubwa nchini inaitwa G RECORDS studio ambayo imefanya kazi na kupika kazi za wasanii wengi kama MR BLUE, ALI KIBA, NIDANGANYE DANGANYE YA SHETA, KIKONGWE YA PICO na nyingine kibao si kitu kidogo kabisa kwa wanandoa kuishi miaka yote hiyo,
Gazeti la makorokocho linatoa pongezi kwa familia hii, mungu awaongezee miaka tele ya ndoa.
soma alichoandika G Lover kwenye account yake ya Facebook
Gazeti la makorokocho linatoa pongezi kwa familia hii, mungu awaongezee miaka tele ya ndoa.
soma alichoandika G Lover kwenye account yake ya Facebook