Saturday, February 7, 2015

PICHA: MIWANI GHALI ZAIDI DUNIANI INAUZWA MILIONI 731

Miwani ya jua ghali zaidi duniani ni aina ya "Chopards" inauzwa dola laki 408,496 sawa na zaidi ya milioni mia saba thelathini na moja za kitanzania, sababu za miwani hii ya jua kuwa na thamani kubwa ni kutokana na kunakshiwa ama kupambwa na vipande 51 vya Almasi pamoja gram za 24 za dhahabu.
kampuni ya Chopards inauza miwani ya aina nyingi na maduka yao yapo sehem mbalimbali barani ulaya.
Histori ya Chopards inaanzia nchini Switzerland miaka ya 1860 katika kijiji kimoja kinachoitwa Sonvilier na mwanzilishi alikua anaitwa Chopard miaka ya 1960 watoto wa mzee Chopard waliuza kampuni hii wa Scheufele hadi leo kampuni hii imekua ikitengeneza bidhaa nyingi za kike na kiume (miwani na saa)


Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.