Wednesday, September 7, 2016

AUDIO:"Hata P-Funk alinyoosha mikono kwa Daz Naledge"-Jay Mo.


                                                     
Mmoja wa ma-rapper wakongwe nchini Jay Mo amemuelezea producer Daz Naledge alietengeneza hit song ya "Pesa Madafu" kama miongoni mwa watayarishaji wenye uwezo na kipaji kikubwa.

                                                            Daz Naldge.

Jay Mo amedai kuwa sio jambo rahisi kwa mtu kama P-Funk,anaetajwa kama mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini kukubali mtayarishaji mwingine kuitumia studio yake  na kuongeza kuwa P-Funk ndie alieridhia mdundo huo wenye mahadhi ya "Trap" usukwe upya kwenye studio za Bongo  Records mara baada ya kuusikia mdundo wa awali uliotengenezwa na Naldge ambae wakati huo alikua akiendesha shughuli zake za muziki jijini Arusha
                                                        Jay Mo.

Msikilize Jay Mo  hapahttp://www.audiomack.com/song/mdadisitzrapper/jay-more-akielezea-jinsi-p-funk-alivyompokea-producer-daz-naledge

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.