
Katika show ya October 22, Vanessa Mdee atakua sehemu ya wasanii wakubwa wa Afrika watakao panda jukwaani wakiwemo 2 Face, Flavour, P –Square, D’Banj, Kcee, Mafikizolo, Fally Ipupa na Cabo Snoop.
"Houston we have a PROBLEM!!!!! See you at the Toyota Centre on the 22nd Oct 2016." Ameandika Vee Money kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram.
Vanessa Mdee & 2 Face.