Thursday, September 8, 2016

V-money kuungana na mastaa wa muziki Afrika kwenye tamasha kubwa nchini Marekani.

Hiyo itakuwa show ya pili inayowakutanisha mastaa wa muziki kutoka barani Afrika baada ya ile ya awali iliyofanyika July 22, kwenye ukumbi wa Barclays Centre, New York, Marekani na kukutanisha mastaa kama Diamond, Wizkid, Davido, Tiwa Savage, Flavour na wengine.

Katika show ya October 22, Vanessa Mdee atakua sehemu ya wasanii wakubwa wa Afrika watakao panda jukwaani wakiwemo 2 Face, Flavour, P –Square, D’Banj, Kcee, Mafikizolo, Fally Ipupa na Cabo Snoop.

"Houston we have a PROBLEM!!!!! See you at the Toyota Centre on the 22nd Oct 2016." Ameandika Vee Money kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram.

                                                   Vanessa Mdee & 2 Face.

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.