Thursday, September 8, 2016

VIDEO:Zlatan Ibrahimovic amtumia zawadi mlinda mlango wa Man-City.

Mshambuliaji wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic ameendeleza majivuno yake na kujitabainisha kama mtu mwenye dhihaka sana baada  kupost  video kwenye ukurasa wake wa  Instagram akimpa onyo golkipa mpya wa Manchester City Claudio Bravo kuelekea mchezo wa ligi kuu ya Uingereza utakaowakutanisha watani hao wa jiji la Mancherster  wikend hii.
 Katika video hiyo  Zlatan Ibrahimovic ambayo anaonekana akiandika ujumbe kwenye boksi lenye vifaa maalum alivyomuandalia mlinda mlango mpya wa klabu ya Manchester City Claudio Bravo.

Juu ya boksi hilo ameandika hivi;
Welcome to Manchester! Here’s some training gear, you’re gonna need it. See you Saturday.#MUFC #ManchesterDerby


Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.