Saturday, January 28, 2017

Huu Ndio Ujio Mpya Wa Wema Sepetu Kwenye Mitandao Ya Kijamii



Baada ya ukimya mrefu kwenye mitandao ya kijamii  Tanzanian Sweetheart (Sepenga) amerudi kwa kishindo.

Mapema asubuhi ya leo Madame Sepenga ametupia picha kwenye ukurasa wake wa instagram huku akiahidi kuja na kitu kwa ajili ya mashabiki wake kwa mwaka huu.






Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.