Friday, January 13, 2017

Angalia Nyomi La Kim Kardashian Kwenye Darasa La Urembo

 Unaambiwa hapakubaki nafsi ya kiti japo kimoja mara baada ya mwanamitindo Kim Kardashian kupewa fursa ya kutumika kama mfano wa ufanyaji Make-Up wa mbunifu Mario 

Dedivanovic kwenye jiji la Dubai.



 
 Tukio hilo lilitokea usiku wa Alhamisi iliyopita baada ya kukubali kuwa mfano wa wapenzi wa bidhaa hiyo kujifunza jinsi ambavyo wataweza kuitumia. Tukio ambalo limemfanya mwanamitindo huyo na ke wa rapa Kanye kuwa gumzo pande za Dubai.



Agalia Hii Video Ya TMZ Hapa:





Stellina Give me that money (Official Music Video) 


































 

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.