Monday, May 5, 2014

WASHINDI KILI TANZANIA MUSIC AWARDS 2013/2014 (KTMA)

Diamond akiwa na Tuzo zake saba


MC MPOKI NA SHADEE KUTOKA CLOUD 9 YA CLOUDS TV
Mwana fa ameanzisha performance na kupiga show na wamasai kibao wimbo ni mpya ameufanya na Gnako? KWANINI FA AMEPERFORM NGOMA MPYA?
MOMENT OF SILENCE KWA WALIOTUTANGULIA
GURUMO, LANGA, NYAISANGA, RANKIM RAMADHAN
OMMY DIMPOZ AMEPERFORM KOLOKOLO NGOMA YAKE MPYA
Wyre the love child na Amani from Kenya wamegawa tuzo ya msanii bora wa kike bendi luiza mbutu
WEUSI WALIAMSHA KWA KUPERFORM GERE WAKIWA WAMETUPIA VIKOI, HUKU USONI WAKIWA WAMECHORWA KIASILI NA WALIPANDA NA BENDERA ZA TANZANIA.
MADEE LICHA YA WIMBO WAKE TEMA MATE TUWACHAPE KUTOLEWA KTK MCHAKATO WA AWALI WA TUZO HIZO, ALIPATA NAFASI YA KUPERFORM KTK UGAWAJI WA TUZO HIZI MWAKA HUU, NA ALIPIGA POMBE YANGU NA KUZUNGUSHA ROUND MOJA YA POMBE KWA WATU WALIOHUDHURIA, SO WALIKUWEPO WAITER KUTOKA BACKSTAGE WAKAGAZIGAWA BIA
MWANADADA WEMA SEPETU – ALITOA TUZO YA MSANII BORA WA KIUME / KIZAZI KIPYA AMBAYO ILIENDA KWA BOY FRIEND WAKE DIAMOND PLATINUM, SHANGWE LILIKUA LA HATARI SANAAAA
WEUSI WALIPOPATA TUZO YA KUNDI BORA, MSEMAJI WAO NIKKI WA PILI ALITOA OMBI KUWA SANII ITAMBULIKE RASMI
VANESA MDEE NUSU ALIE KWA FURAHA BAADA YA KUPATA TUZO YA WIMBO BORA WA RNB
SAGANDA ALIPERFORM NGOMA ALIYOITOA ZAIDI YA MIAKA 10 ILIYOPITA
FID Q YEYE KAMA YEYE TANGU MWAKA 2007 ALICHUKUA TUZO YA MSANII BORA WA HIPHOP NA KUMALIZA YA MANENO YA CHINICHINI KWAMBA KWANINI JAMAA HAPATI TUZO YA HIPHOP MIAKA YOTE HII
CHAMELEONE ALIKUWEPO KUCHUKUA TUZO YAKE YA WIMBO BORA AFRIKA MASHARIKI TUBONGE, NA AKAFUNGUKA KUWA KUMBE WIMBO SIKU YA KWANZA KUKUTANA RAIS MUSEVEN WA UG ALIBONGA NAE KISWAHILI 
DIAMOND ALIONGOZA KWA KUONDOKA NA TUZO SABA
MZEE YUSUPH ALIONDOKA NA TUZO 4


WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI VYA TANZANIA 

BORA MCHAWI - DAR BONGO MASSIVE

BEST UP COMING ARTIST



YOUNG KILLER



WIMBO BORA WA AFRO POP



DIAMOND – MY NUMBER ONE


WIMBO BORA WA DANCE HALL/ RAGGA


CHIBWA FT JURU – NISHAI


WIMBO BORA WA RAGGAE



DABO


WIMBO BORA WA TAARAB


MZEE YUSUPH – WASIWASI WAKO


KIKUNDI CHA MWAKA CHA TAARABU


JAHAZI MODERN TAARAB


MWIMBAJI BORA WA KIKE TAARAB


ISHA RAMADHANI


MWIMBAJI BORA WA KIUME WA TAARABU


MZEE YUSUPH


Wimbo bora wa Kiswahili Bendi


Mashujaa – ushamba mzigo


Mwimbaji Bora wa Kike Bendi


Luiza mbutu


Mwimbaji bora wa kiume/ bendi


Jose Maraa


RAPA BORA BENDI


FURGUSON


BENDI BORA YA MWAKA

MASHUJAA BAND

MWIMBAJI BORA WA KIUME / KIZAZI KIPYA 

DIAMOND PLATINUM

KIKUNDI CHA MWAKA / KIZAZI KIPYA

WEUSI

WIMBO BORA WA RNB 

VANESA MDEE - CLOSER


WIMBO BORA WA HIP HOP


NIKKI WA PILI - NJE YA BOX


MSANII BORA WA HIP HOP

FID Q

WIMBO BORA WA KUSHIRIKIANA 

MUZIKI GANI NEY WA MITEGI FT DIAMOND

WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI


TUBONGE - JOSE CHAMELEONE


MTUNZI BORA WA MWAKA - TAARAB



MZEE YUSUPH

MTUNZI BORA WA MWAKA BENDI 

CHRISTIAN BELA

MTUNZI BORA WA MWAKA / KIZAZI KIPYA

DIAMOND

MTUNZI BORA WA MWAKA HIPHOP

 FID Q

MTAARISHAJI BORA WA MWAKA/ TAARAB


ENRICO – WA SOUND CRAFTERS


MTAARISHAJI BORA WA MWAKA / BENDI


AMOROSO


MTAARISHAJI BORA WA MWAKA / KIZAZI KIPYA


MAN WATER WA COMBINATION SOUND


HALL OF FAME


HASSAN BITCHUKA - KUTOKA SIKINDE NGOMA YA UKAE


HALL OF FAME TAASISI


MTANGAZAJI – MASOUD MASOUD


VIDEO BORA YA MWAKA


DIAMOND - NUMBER ONE


WIMBO BORA WA MWAKA


DIAMOND – NUMBER ONE


MTUMBUIZAJI BORA WA MWAKA / WA KIKE


ISHA RAMADHANI


MTUMBUIZAJI BORA KIUME


DIAMOND PLATINUM

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.