Friday, December 30, 2016

Billboard Wamtabiria Haya Mwanamuziki Tekno

Ukiongelea wanamuziki ambao mwaka huu wa 2016 umekua ni mwaka wa neema kwao hauwezi ukamuacha nyuma Mnigeria TeknoMiles (Alhaji'Tekno).
 Mbali tu na kutamba na hits kibao kama Where,Pana na Diana mwaka huu pia Tekno alikula shavu kwa kusign na kampuni ya Sony International.
 Katika kuendeleza kukuthibitishia kam Tekno sio wa mchezomchezo mkali huyo wa hitsong Duro ameingia tena kwenye Headlines baada ya mtandao "Billboard" wa marekani kumtaja kama Mwanamuziki wa Afriika anaetakiwa kutazamwa kwa mwaka 2017.
A photo posted by TIA (@teknoofficial) on


Tukiachana na Tekno unafikiri ni msanii gani mwingine kiafrika anapaswa kutazamwa kwa mwaka 2017.


TEKNO KAGOMA KURUDI NIGERIA | KAWATAJA MADEMU WA BONGO ANAOWAKUBALI:







Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.