Monday, December 17, 2012

STEREO AMTOSA SHETA NA KUINGIA MKATABA NA AMBWENE YESAYA A.Y


B-Boy-Stereo


Baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka mitatu na Record Label ya M Lab chini ya Patrick Gondwe na Producer Duke Tachez, na ndani ya mkataba huo akafanikiwa kurelease album moja ya African Son pamoja na kushiriki kwenye Mixtapes kadhaa, Stereo alifunguka kuwa yuko huru na iwapo kuna management itavutiwa kufanya naye kazi ye yuko poa, baadae kukawa na rumorz kuwa bonge la bwana Sheta anamnyemelea Stereo ili ikiwezekana amsign, na ki ukweli mara kwa mara walikua wana hang pamoja
Ila hivi karibuni tukaskia Stereo yuko chini (Unity Entertainment) ya mshindi wa tuzo ya Channel O Music video awards, Ambwene Yesaya A.Y , na mkataba huo ulisainiwa Tarehe 12 mwezi wa 12 mwaka 2012 jioni, mbele ya macho ya Mwanasheria Anna Mwakatundu, Arthur Samuel A.Y na Stereo mwenyewe
Mskize Stereo alivyo Tiririka ndani ya 255 ya XXL/ Cloudsfm:

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.