Thursday, November 10, 2016

Chegge Akanusha Kumuimbia Mtu Waache Waoane, Ushikaji Wake Na Nature Je?

Chegge Chigunda mtoto wa Mama Said kama mwenyewe alivyozoea kujiita amepiga stori  Gazeti La Makorokocho baada ya picha iliyopigwa usiku wa Tamasha la Fiesta Dar ikiwaonyesha Chegge na Nature wakiwa pamoja na demu wa kizungu kusambaa kwa kasi mitandaoni, Kwa mujibu wa shilawadu Inasemekana Chegge na Juma Nature hawana mahusiano mazuri, Chegge alikanusha tuhuma hizo na kusema Yeye Na Juma Nature hawana tatizo.
Ni Kweli Waache Waoane ni dongo kwa Nature?
Bonyeza Play Hapa Kwenye Hii Video Usikie Alichojibu:





Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.