Thursday, April 18, 2013

SAFARI YA MWISHO YA BI KIDUDE, AZIKWA NA MARAIS WAWILI NA MVUA KUUUBWA YANYESHA MAZIKONI


Jeneza lililo beba mwili wa Bi Kidude
waombolezaji 


Waziri kiongozi wa ZANZIBAR, seif sharif hamad 
 Rais JK na Rais Shein  
Rais JK na Rais Shein 
Artist wa Taarab Mzee YUSUF 
Rais JK Kikwete
Mvua ilikua kubwa Sana
Wana usalama walikuwepo kuweka mambo sawa
Artist Diamond 
Rapper Fid Q
mwili wa Bi kidude ukitaarishwa kuingizwa kaburini
PICHA KWA HISANI YA DJ G LOVER/ GURU

JANA TUMEMPOTEZA MSANII MKONGWE KWENYE INDUSTRY YA TANZANIA NA DUNIA KWA UJUMLA, FATUMA BINTI BARAKA , MAARUFU KAMA BI KIDUDE, ALIYEZIKWA LEO HUKO KITUMBA UNGUJA ZANZIBAR
HISTORIA YAKE KWA UFUPI KUZALIWA:
Fatuma binti Baraka au Bi Kidude, alizaliwa katika kijiji cha Mfagimarigo Zanzibar katika familia ya watoto saba (7). Baba yake Mzee Baraka alikuwa ni mfanyabiashara wa nazi, zao ambalo ni la kutumainiwa sana Zanzibar. Bi Kidude anasema hafahamu tarehe halisi aliyozaliwa, isipokuwa anachojua ni kwamba alizaliwa wakati rupia ikitumika kama fedha,
ALBUMS :
MIAKA 10 ILIYOPITA ALITOA ALBUM INAITWA ZANZIBAR, NA MIAKA YA HIVI KARIBUNI ALIFANIKIWA KUREKODI ALBUM NYINGINE INAITWA MACHOZI YA HUBA KTK STUDIO ZA HEART BEAT RECORDS
STUDIOS KUBWA ALIZOWAHI KUFANYA NAZO KAZI:
RETRO AFRIC, PIRANHA, GLOBE STYLE, JAHAZI, EMI/ VIRGIN RECORDS
UJASIRIAMALI:
Bi Kidude haKUA ANAtegemeA kazi moja tu ya kuimba, kwani pia ALIWAHI KUWA mfanyabiashara ya 'wanja' na 'hina' ambavyo anavitengeneza yeye mwenyewe, pia ni mtaalamu wa matibabu kwa dawa za mitishamba na zaidi ya hayo ni mwalimu mzuri sana wa 'Unyago' na ameanzisha chuo chake mwenyewe na anasema katika wanafunzi wake wote hakuna aliyepata talaka kutoka kwa mumewe.

TOUR:
TUZO:
(ZIFF) mwaka 1999 tuzo ni ya maisha. Pia mwaka jana tuzo ya WOMAX ilienda kwake.



Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.