Saturday, May 11, 2013

SOUDY BROWN THE GOSSIP COP TZ JIONI YA LEO NIKAAMUA KUPIGA PICHA KIDOGO, PATAMU HAPO

Napenda GUN a.k.a Bistola nikija kuimiliki nitavunja wa2 wengi miguu, ha ha ha Samahani Lakini
MY FAVOURITE CHATA tangu mduchu, super man ni shujaa mzee wa kusaidia wa2, naizimia character hiyo imeathiri mpaka maisha yangu ya kawaida, waliowahi
kuishi na mm kwa karibu watakubaliana na hilo, na cpend kushkuriwa, ila bado nadaiwa na jamii yangu, vingine mwachie baba na mama
miaka miwili nyuma nilikua cwez kuvaa aina hii ya kiatu coz ilikua inaumiza ankle vibaya mno, na nilikua navizimia kinoma noma but now a dayz namshkuru mungu vinavalika
Nisipo vaa hii najiona kama sista duu aliyevaa kimini bila chupi ndani, ha ha ha hataree akipita kariakoo


Set up ya studio, nikiiona hii mood ya kazi lazma irudi hata kama niko hoi na malaria

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.