Wednesday, May 15, 2013

YOU HEARD : JACKLINE WOLPER NA ALI KIBA WAKUTWA WAKI NONIHINO NDANI YA GARI / INASEMEKANA LAKINI

Jackline Wolper ... utamu nje njeeeeeee
Taarifa ambazo zilifika mezani kwa muhariri wa Gazeti la makorokocho, kutoka chanzo kitakatifu zinasema kuwa eti mwanadada Jackline Wolper pamoja na Ali Kiba weekend iliyopita wakati wakiwa kwenye mechi kati ya wasanii wa Bongo Movie na Taswa, iliyofanyika pande za chang'ombe wawili hao walipigiwa chabo wakati wanaingia kwenye gari la promota Bonga likiwa na tinted kali, gari hilo halikuondoka uwanjani na likaonekana likinesa nesa katika mnuso usiokuwa wa kawaida / kwichi kwichi hali iliyoashiria kuwa kuna jambo zito la kimahaba linaendelea ndani ya gari hilo, baada ya madakika kibao kupita Ali kiba alifungua mlango kisha akatoka na kuanza kunawa mikono, patamu hapo , mwadada nae alipotokea macho yake yalikua yamelegea mekunduuu utadhani kala kungu, je ni kweli wawili hao walinonihino ama?
mskize Jackline Wolper kama alivyofunguka kwenye YOU HEARD YA XXL / CLOUDS FM


Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.