Friday, January 2, 2015

KAJALA Awatolea Uvivu Waliozikosoa Picha Zake, "Eti Hazina Maadili".


Eti hazina maadili Zitazame hapo kisha utoe maoni yako.



Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la Kiafrika zaidi, Kajala Masanja aliamua kuwatolea uvivu baadhi ya mashabiki wachache ambao walikuwa wakimshabulia kwa –comments kuwa picha hizi alizoziweka mtandaoni akiwa ufukweni, hazina maadili kwasababu amevaa nguo ambazo zinaonyesha sehemu kubwa ya mwili wake.
Baada ya mjadala wa picha zake kupamba moto huku wengine wakiona zipo sawa na wachache wakisema kuwa hazina maadili, Kajala aliingilia kati na kufafanua kuwa picha hizo alipiga wakati akiwa ufukweni nasio yupo mitaani anaembea.
“Niko beach jamani siko posta natembea maana mna maneno ya chini chini humu” Kajala alisistiza.
Picha hizi alizitupia juzi, siku ya sikukuu ya  mwaka mpya. Jionee picha hizo hapo juu kiwasha tuambie umeziona vipiii



Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.