MEZ B AELEZEA KINAGA NAGA CHA KUPIGA PICHA ZA UTUPU
Mez B na mdada yuko uchi
Msanii wa siku nyingi wa Bongo Flava ambaye pia ni Mtoto
Wa Mchungaji #MezB hivi karibuni Picha zake Utupu zilisambaa akionekana yuko na Toto mbili nyonyo nje njeeee, kukawa na hali ya sintofahamu juu ya nani aliyesambaza picha zile, sasa Mez B baada ya kufanya uchunguzi wake tayari
ameshamjua m'baya wake aliyevujisha hz picha,
Kumbe ilikua mwaka Jana wakati Ana shoot Video ya Shemeji maeneo ya
Mikadi Beach alipomaliza wakatokeza hao wadada wawili inaonekana ni MTU
Na Dada Yake maana wamefananaĆ a shingo zao Kama jogoo, walikua
wanaogelea eti wakamwomba wapige picha Mez B akachomoa lakin wadada
wakaendelea kusisitiza eti Director wake Wa Video akam ng'ata sikio kuwa
wakubali kupga picha Kwa Camera Ya Director Kwa ahadi kuwa wakitoka
hapo atazi delete, picha zikapigwa Na MezB anakuja kushtuka HV karibun
wakat picha zimevuja Na alipomuuliza Director akamjibu kuwa huenda
kijana flan ambaye alikua anafanya kazi Na Producer ndio atakua
amevujisha picha Kwa sababu walikua wamegombana Na Director, Mama Mez B
ambaye ni Mchungaji bado hajazipata taarifa hizi Je akizpata itakuaje?