Tuesday, December 6, 2016

VIDEO:Dereva wa basi la abiria aachia usukani na kucheza wimbo wa Darassa 'Muziki',Kilichofata sasa....!!

Dereva huyo ambaye  video yake akicheza wimbo wa rapper Darassa huku akiendesha gari ilisambaa mitandaoni.Anadaiwa kufanya kitendo hicho akiendesha gari aina ya Coaster T360DAY  ambalo hufanya  safari zake Dodoma kwenda itigi ambapo mashuhuda wa SHILAWADU walipenyeza ubuyu kwa Askari wa kikosi cha usalama barabarani na kufanikishwa kukamatwa kwa dereva huyo.


Dereva huyo anaefahamika kama Said Juma Makachakacha anatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazo mkabili yeye pamoja na wasaidizi wake  alikuwa nao kwenye Gari hilo.



Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.