Monday, December 12, 2016

VIDEO:Wasichana 10 waliotoka kimapenzi na Wizkid tangu mwaka 2011 - 2017.

Umaarufu ni harufu,unaweza kunukia na kunuka pia,ila kwa Watu maarufu kama Wanamuziki,Waigizaji,Wanamichezo na n.k sio jambo la ajabu kusikia skendo zao za kutoka kimapenzi na Warembo tena zaidi ya mmoja japo sio wote hufanya hivyo.

Jionee list ya Wanawake walioshea shuka na Staa wa miondoko ya Afro-Pop kutoka nchini Nigeria,Wizkid Ayo kuanzia mwaka 2011 -2017



Chanzo:Mizzy Mojo.

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.