Saturday, September 10, 2016

Zari Awachamba Wenye Wapenzi Hewa



"Watu na Bae zetu... nyaku nyakus can't even post their own. Told you, if he can't claim you in public, don't give him the good good in private. U know what that means right & I bet u know where that leaves you 😂😂😂😂😂. Tag your bae and wish him or her a good night.#ToWhomItMayConcern"


"Watu na wapenzi wetu.. nyaku nyakus hawawezi hata kupost wa kwao. Eti kama hakufanyi uonekane nae basi usimpe matamu mkiwa chobingo.
Ndicho  aliandika mwanamama zari kwenye picha yake aliyopost akiwa na baba mtoto wake Diamond Platnumz.
 Kutokana na kijembe hicho kutomtaja muhusika moja kwa moja shilawadu itawaletea stori kamili iwapo kuna yeyote atatokwa na povu.



JACKLINE WOLPER AZICHEZEA NYETI ZA HARMONIZE HADHARANI BILA AIBU:



Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.