Wednesday, November 16, 2016
VIDEO:Meek Mill amporomoshea matusi Donald Trump kwenye ''Freestyle'.
Kitifutifu kati ya Wamerekani wenye asili ya Afrika na Rais mpya wa Marekani,Donald Trump kinaendelea kwenye mitandao na vyombo vya habari hii ni mara baada ya rapper Meek Mill kumchana Rais Trump kupitia freestayle kwenye mahojiano na Dj Clue wa kituo cha redio cha Power 105.
“We ain’t grow up like the Jenners / The only choice we had was fuck with yay’ / Sometimes it’d make me wanna run away / Sometimes I see my people struggle and I want to stay. Fuck Donald Trump. Now that Trump won the election. They’re gonna try to box us out like the Mexicans.”
Tangu bilionea Donald Trump alipotangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya urais akimshinda aliekua mpinzani wake Hillary Clinton,kumekua na maandamano kwenye baadhi ya majiji makubwa nchini humo na kwenye baadhi ya mataifa wakipinga ushindi wake,hii ikitokana na matammshi na misimamo mikali aliyokua akitoa wakati wa kampeni zake.
Comments System
facebook
