Monday, May 7, 2012

MAMAEE.....DAYNA FEKI ASUTWA NA DAYNA ORIGINAL LIVE NDANI YA YOU HEARD YA XXL


Dayna Nyange
Muda mfupi baada ya msanii wa muziki wa kizazi Kipya Dayna Nyange kunishtua kwamba ameskia kuna mwanadada anawapigia watu simu na kuwadanganya kuwa yeye ndio Dayna Nyange, mara anawapigia watu simu kuwapiga vibomu vya pesa na vitu kama hivyo, basi mimi nikamjibu Dayna Original kama vipi dondoka mjengoni tumvutie wire Dayna Feki, akaibuka fasta tukaanza kumvutia wire, simu ikawa haipokelewi, ikabidi tumshtue mwana mmoja kutoka musoma anaitwa Peter Isuti Mioyo na kumwambia amdanganye mwanadada huyo tapeli kuwa kuna Promota yuko Nyalugusu anataka ampe Show (Peter ni moja kati ya watu waliowahi kupigiwa simu na Dayna Feki, alimshtukiaga ni muongo lakini akaminya na Kumshtua Dayna Original kwamba mchongo sio)
Basi Dayna feki akamjibu kuwa mwambie Promota apige mimi nitapokea, kupiga sasa ndo ikawa makorokocho zaidi, skiza hapo chini:



Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.