Baada ya kupata taarifa kuwa kipindi kinachoruka Every Friday kuanzia saa nne ucku D' WIKEND CHAT SHOW/ CLOUDS TV kina studio mpya, Jana usiku Muhariri wa Gazeti La Makorokocho nikaamua kutembelea studio hiyo, nilichokikuta huko, Nooooooma kweli, yani Bo bo bo boooooonge la studio, sina haja ya kutiririka sana wakati mi picha ipo hapo.
Host wa D' Wikend Chat Show QUISER THOMPSON |
Host : Lady Haha |
Producer wa LEO TENA ya Clouds fm "ADRIAN KANENO" alikuepo kushudia studio hiyo mpya |
on the one n two ni DJ............... |
Yeah we love tha Show |
Ukutani |
Picha za wasanii mbalimbali wa kimataifa na wa muziki wa kizazi kipya zimetupiwa ukutani |
hii ni set up ya DJ |
muonekano wa juu CD zimepangwa kurembesha studio |
Mafundi waki set mipango |