Wednesday, May 7, 2014

YOU HEARD: NASH MC AKATAA KUZUNGUMZIA TUHUMA ZA KUMTUNDIKA BINTI MIMBA NA KUIKATAA


Rapper Nash Mc amekataa kuzungumzia Tuhuma zilizotolewa na Mwanadada Subira dhidi yake, awali mwanadada huyo alidai kuwa zaidi ya miezi mitano iliyopita alikua katika mahusiano na Msanii huyo na akatundikwa mimba lakini alipojaribu kumwelezea mpenzi wake ambaye ni Nash Mc eti alipinga kuhusika na Ujauzito, sasa nilipocheki na Nash Mc akajibu yeye hawezi kuzungumzia ishu hizo kwani yeye sio doctor na anachoweza kuzungumzia ni CD yake anayotaka kuitoa hivi karibuni, nilipoendelea kumuuliza kama anamfahamu Subira Nash aliijibu "HipHop" HipHop HipHop

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.