Mjini siku hizi kuna wadudu wafekenyuzi wa mambo wanaitwa Shilawadu hata ufanye jambo la siri ukiwa peke yako watajua tu...
Leo shilawadu wamemfikishia Mhariri mkuu wa Gazeti La Makorokocho Ubuyu tena video kabisa ya mwanamuziki wa Bongoflava akishushiwa kichapo mara baada ya kufamaniwa akipenzika na mke wa mtu...
Picha linaanza mwenye mke wake alisafiri ndugu yete akahamia kwa baby kubebika maraia si wakamtonya mwenye mke akiwa safarini akatuma majeshi yake..
Unataka kuupata Ubuyu Mzima?
Bonyeza Play Kwenye Video Hii Hapa Chini
Showing posts with label U Heard. Show all posts
Showing posts with label U Heard. Show all posts
Friday, October 21, 2016
Wednesday, May 7, 2014
YOU HEARD: NASH MC AKATAA KUZUNGUMZIA TUHUMA ZA KUMTUNDIKA BINTI MIMBA NA KUIKATAA
Rapper Nash Mc amekataa kuzungumzia Tuhuma zilizotolewa na Mwanadada Subira dhidi yake, awali mwanadada huyo alidai kuwa zaidi ya miezi mitano iliyopita alikua katika mahusiano na Msanii huyo na akatundikwa mimba lakini alipojaribu kumwelezea mpenzi wake ambaye ni Nash Mc eti alipinga kuhusika na Ujauzito, sasa nilipocheki na Nash Mc akajibu yeye hawezi kuzungumzia ishu hizo kwani yeye sio doctor na anachoweza kuzungumzia ni CD yake anayotaka kuitoa hivi karibuni, nilipoendelea kumuuliza kama anamfahamu Subira Nash aliijibu "HipHop" HipHop HipHop
Friday, March 14, 2014
YOU HEARD - WEMA APIGWA NA DIAMOND KISA VICTORIA KIMANI
Jana Usiku wakati Diamond Platinumz, Ommy Dimpoz pamoja na mwanadada Victoria Kimani walikua wana record ngoma katika Studios za T.H.T wakati wakiwa wana Record ghafla akatokea mchumba wa Diamond na kuanza kulalama kuwa bwana wake yuko katika mapenzi na Victoria Kimani, inasemekana wawili walipishana Lugha hatimaye wakaanza kupigana hali iliyosababisha Wema kushindwa na kutokomea zake ili kuepusha shari zaidi.
Wednesday, March 5, 2014
YOU HEARD : HATIMAYE SHILOLE NA NUH MZIWANDA WAFUNGISHWA NDOA, Hihihihihihiiii
![]() |
| Shilole |
Tuesday, March 4, 2014
YOU HEARD : SHILOLE AONYESHA NGUO YAKE YA NDANI JUKWAANI
Mwanadada Shilole wakati akiwa ana perform katika Uzinduzi wa Filamu ya Kigodoro iliyoandaliwa na Zamaradi Mketema, jumamosi iliyopita Shilole alijikuta akisaula na Kuwaonyesha mashabiki wake nguo ya Ndani hali iliyowafanya mijibaba iliyokua na uchu itoe mimacho sambamba na Udenda kuwadondoka kwa mbaali, huku wakishangilia kutoa ishara arudi tena na tena, sasa aliposhuka jukwaani nikamkamata na kumtupia maswali, Shilole alionyesha ushirikiano na hata nilipomtania kwa kumwomba anionyeshe na mimi hakusita na kunionyesha na kuniambia mbona ni kawaida, nahisi kidogo alikua amechangamka kwa Alcohol kidogo au sijui ndo maamuzi yake sijui, ila mwenyewe anasema anamzimia sana Mwanamama Tshela Mwana kutoka Congo msanii ambaye ni maarufu kwa kusaula anapokua Jukwaani,
Usiku huo Shilole alikua ameambatana na Wacheza show wake pamoja na msanii wa Kiume 'Nuh Mziwanda' ambae inasemekana wako katika dimbwi zito la mahaba, nikamuuliza vipi mbona usiku usiku na Nuh? akanijibu ni rafiki ni msanii mwenzake, ndipo Nuh alipoibuka na kuniambia 'Muongo huyooo, sio kweli kwamba mimi ni rafiki yake au msanii mwenzake, sisi ni zaidi ya Hivyo' sasa ukitaka kujua maongezi kati yangu na Shilole pamoja na Nuh Mziwanda, usikose Kuskiza XXL Kesho Pyaaaaaaaaaaaaaa.....
![]() |
| Nuh Mziwanda |
Wednesday, February 12, 2014
U HEARD : SHILOLE KATI KATI YA PENZI LA MADEE NA NUH MZIWANDA (INASEMEKANA LAKINI)
![]() |
| Madee |
![]() |
| Nuh Mziwanda |
Tuesday, February 11, 2014
U HEARD : UKWELI KUHUSU PENZI LA DIVA NA GK
![]() |
| Diva |
Monday, February 10, 2014
U HEARD: CRAZY GK NA DIVA KATIKA DIMBWI ZITO LA MAHABA INASEMEKANA LAKINI
![]() |
| Crazy Gk |
Wednesday, July 24, 2013
U HEARD : JAMAA AMWAGA CHOZI BAADA YA KUMFUMANIA WIFE WAKE NA DIRECTOR WA BONGO MOVIE (ENOCK KOBELO)
![]() |
| KATIKATI NI ENOCK KOBELO MUONGOZAJI WA FILAMU WA SAUTI NA PICHA |
anakuta Wife wake yuko na Upande mmoja wa Kanga ndembendembeeee, Jamaa Huyo (Emanuel) huku akiwa ameshika Panga, Kisu Na Bisibisi akamuamrisha Kobelo avue Suruali alipoona anabisha bishaa akamlazimisha na kuanza kukata ule mkanda mpaka nguo boxer zikashuka, Timbwili ndo lilianzia hapo ile anataka kugusisha Ndude yake kwenye makalio ya mgoni wake ndo akatokea polisi mmoja anayeishi chumba cha jirani na kumnasua Emanuel ili asije kuzamisha Ndude yake kwa mchizi, Polisi alipofanikiwa kesi ikahamia katika Kituo cha polisi jirani.
Skiza sauti hapo chini upate mchapo mzima.
Skiza na Muendelezo
Subscribe to:
Posts (Atom)
Comments System
facebook












