Saturday, March 31, 2012

BEATRICE (NABISHA) AMWAGA CHOZI LIVE ON ALA ZA ROHO YA CLOUDS FM (CHANZO PROMOTA)


Ilikua Last thurzday kwenye Kipindi cha Ala za roho kinachoruka weekdayz on Clouds Fm saa 4 mpaka sita ucku, cku hiyo Studio kulikua na wadada wanne wa Bongo flava, Dayna Nyange, Rachel, Queen Darlin na Beatrice, baada ya Perfomance mbili tatu, ukafika wakati wa kuaga ndipo MAPENZI YA KWELI & DOLE GUMBA  SINGER Beatrice akatoa duku duku lake huku machozi yakimtoka, alisema “ ninaomba wadau wote wa muziki, mtu tazame  wasanii, nimetoa wimbo wangu mwaka jana na umefanya vizuri kwenye radio na tv station, lakini kwa kipindi chote hiko nimepiga show mbili tu, kwanini inakua hivi?
so kama vipi wadau mjipange Beatrice anapatikana facebook: Nabisha Mathew

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.