Tuesday, April 30, 2013

STAMINA : SIWEZI KUM' DISS GK AU EAST COAST TEAM NDIO MAANA NILIINGIA STUDIO KUFUTA MISTARI YANGU


STAMINA
wiki iliyopita rapper young killer na stamina wali release ngoma ya kwanza kutoka kwenye project yao mpya, ngoma inaitwa jana na leo, siku moja kabla ya ngoma hiyo kuwa released jamaa ilibidi wazame booth kuirudia coz ile ya mwanzo ilikua na line zenye utratra kuhusu muasisi wa East coast team/ kamanda Gwamaka Kaihula, Stamina ali rap "Hakuna King chizi kama G.K/ Hiki kipigo cha mwizi kaseme kama Aslay/ sasa akizungumzia Line hiyo Stamina anasema baada ya kuwaskilizisha wadau kadhaa wakamwambia line hiyo italeta tatizo kati yake na msanii mkongwe G.K , so ikabidi amvutie wire kamanda wakakubaliana kwamba stamina aachane na hiyo mistari na ndicho kilichotokea.
skiza kipande hicho kuhusu G.K hapo chini


HAPA CHINI STAMINA ANATIRIRIKA SABABU ZA KUFUTA MSTARI HUO

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.