Thursday, May 2, 2013

FAMILIA YA SHARO MILIONEA YAMTEUA KITALE KUMPIGIA KAMPENI MTOTO WAO KATIKA KILI TANZANIA MUSIC AWARD

KITALE
Familia ya The Late Sharo milionea imemteua aliyekua swahiba wa mtoto wao Comedian Kitale Rais wa Mateja asimamie zoezi zima la kumwombea kura Sharo milionea ili aweze kupata kili tanzania music award, katika categories za Wimbo bora wa kushirikiana, na wimbo bora wa bongo pop, jinsi ya kumpigia kura Kitale ameandika kwenye ukurasa wa facebook:
(1) wmbo bora wa pop (2) wmbo bora wa kushirikishwa: kumpgia kura sharo andika BP3 kwnda 15345 (1) ya (2) BR1 Kwnda 15345 mungu ailaze roho ya marehemu peponi Amin.

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.