Thursday, May 15, 2014

SONG & LYRICS: JCB FT FID Q & KALAPINA

 
Haya ni Mashairi ya Ngoma Mpya ya JCB amewashirikisha Fid Q na Kalapina

Nashinda kila sekunde kama nimeinvest kwenye muda/
na sina muda wa kuspend hata kwa cash za kuzuga/
Nashinda kila sekunde kama nimeinvest kwenye muda/
na sina muda wa kuspend hata kwa cash za kuzuga/

( JCB )

Udhaifu wa kilevi bwana mdogo huviwezi| Usione Mafogo wengi walikuwa wezi| si kidogo usifate Utelezi| Wanacheza michezo mingi huiwezi| Michezo mingi ya shilingi huiwezi| Ndo maana kwenzi| Nakuchapa una benzi| Una mapenzi| Kitaa bonge la ndezi yaani mwepesi| Kusimama huwezi kesi| Huwezi kudance kudunda kitenesi| Huendi resi ukiona pilau unasex|Umebaki fala unacopy na kupaste| Yaani mweupe huna vyeo vya jeshi| Bonge la kiwingu mpaka mvua hainyeshi| Pua haikeshi kunusa chako kinyesi| Kugusa kiwango mbona chepesi| Ngoja nifunge verse isije kuwa kesi.....!                #JCBNashinda kila sekunde| kama nimeInvest kwenye muda|Na sina muda wa kuspend ata kwa cash za kuzuga
Nashinda kila sekunde kama nimeinvest kwenye muda/
na sina muda wa kuspend hata kwa cash za kuzuga/
Nashinda kila sekunde kama nimeinvest kwenye muda/
na sina muda wa kuspend hata kwa cash za kuzuga/
 CASH ZA KUZUGA.. CASH CASH ZA KUZUGA.. CASH ZA KUZUGA.. CASH

( Kalapina )

Mbuzi karamba reli shetani kakata kamba||Wananiita Pina Mc namba moja namba||so ishirini na sita, ishirini na sita ni Hamidu||Napomwagaga beti Mc hupinduka bidu||Vina vyangu mateso muulize hata Lidu||Kaa kijanja usikae kikox||Kaza sauti ifanane hata na Mox||Bado nita kukanyaga kama navaa socks||Yaani kama upepo niite mchizi wa docks||Dar es salaam nyumbani siwezi kuhama||Karama za hizi zama mwishoe uishie mahakama||Niite baba wa Idea nyuma sijali lawama....

Nashinda kila sekunde kama nimeinvest kwenye muda/
na sina muda wa kuspend hata kwa cash za kuzuga/
Nashinda kila sekunde kama nimeinvest kwenye muda/na sina muda wa kuspend hata kwa cash za kuzuga/ CASH ZA KUZUGA.. CASH CASH ZA KUZUGA.. CASH ZA KUZUGA.. CASH

( Fid Q )

Hi Dayna, sikufichi ulikua unahusika/
au mtoto wa uswazi ' akijichubua ' haimaanishi anaukimbia uafrika?/
nisikize Dayna..please.. najua uko busy kiaina na hizi ni aina tu za uchizi au kama vipi bye DAYNA/
HUUH.. now back to you fools/
 nani atabaki juu? nitabaki tu.. huu ni wakati wa Q/
muda wa 1,2,3,2,1 kama ZOLA/ nikiwa na 1,2,3,4 quarters nipe dola/
ulipo sipo na hauna mshiko? kujikomba usijali/
hakika kuvunjika kwa mwiko sio mwisho wa kusonga ugali/
ongea na watu upate viatu, machacha yasisumbue/
mwambie HITLER avunje NAZI.. BLACK CHATA afaidi tui/
' na shinda kila sekunde ' kama nimeinvest kwenye muda/
 na sina muda wakupoteza hata kwa cash za kuzuga...

Nashinda kila sekunde kama nimeinvest kwenye muda/
na sina muda wa kuspend hata kwa cash za kuzuga/
Nashinda kila sekunde kama nimeinvest kwenye muda/na sina muda wa kuspend hata kwa cash za kuzuga/ CASH ZA KUZUGA.. CASH CASH ZA KUZUGA.. CASH ZA KUZUGA.. CASH


Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.