Monday, June 9, 2014

PICHA: RAIS KIKWETE ALIPOENDA KUHANI MSIBA WA MZEE SMALL

Dua ikiombwa mbele ya mwili wa Hayati Mzee Small
Safari ya Mwisho ya Mwana sanaa za maigizo na Uchekeshaji Mzee Small aliyefariki weekend Hii iliyoisha imefikia tamati Leo tabata jijini Dar es salaam, watu mbalimbali wameguswa na msiba huu akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete aliyefika nyumbani kwa marehemu Tabata mawenzi na kusign Kitabu maombolezo.
Rais akiwa na Kiongozi wa shirikisho la wasanii Simon Mwakifamba, pamoja na Kiongozi wa Bongo Movie Club.

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.