Na Fadhili Abdallah,Kigoma
MSANII wa Bongo Fleva Baba Levo anadaiwa kumpa kichapo cha haja shemeji yake Pili Kimenya ambaye alikuwa ni mchumba wa marehemu mdogo wake Patrick Revocatus akidai kupewa cheni ya silver ambayo ilikuwa ya mdogo wake aliyoondoka nayo shemeji yake.
vurugu hizo zilitokea nyumbani kwao na baba Levo katika
nyumba ya familia iliyopo mtaa wa Kisangani Mwanga mjini Kigoma ambapo
msiba wa marehemu ulikuwa umewekwa.MSANII wa Bongo Fleva Baba Levo anadaiwa kumpa kichapo cha haja shemeji yake Pili Kimenya ambaye alikuwa ni mchumba wa marehemu mdogo wake Patrick Revocatus akidai kupewa cheni ya silver ambayo ilikuwa ya mdogo wake aliyoondoka nayo shemeji yake.
Gazeti La Makorokocho lilipomtafuta Baba Levo alikanusha taarifa hizi na kudai kuwa siku ya tukio Pili na Mama yake walivamia kwenye msiba wa kaka yake na kufanya fujo ndipo yeye akaamua kuwafukuza na kwenda kutoa taarifa polisi kisha Pili Na Mama yake wakakamatwa ikabidi wazee wa mtaani waende kumwomba Baba Levo awasamehe wanawake hao..
Baba Levo akawasamehe na kuendelea na msiba.