Thursday, January 8, 2015

Diamond Apewa Pongezi Na P-Square

Tuzo tatu alizoshinda kwenye tuzo za Channel O mwaka 2014 zimezidi kumuongezea nguvu Diamond Platnumz ambae kwa sasa yuko Nigeria akijiandaa kupanda kwenye stage ya tuzo za Wanasoka Afrika akiwa kwenye list na wasanii kutoka Nigeria, DRC Congo na South Africa.

Wakati Diamond amemaliza kufanya mazoezi kwenye ukumbi kunakofanyika show yenyewe alikutana na Peter wa P Square ambae ndio alianza kumtambua Diamond na kumchangamkia sana kama watu wanaofahamiana, walipopiga stori akamwambia Diamond kwamba ‘inabidi tufanye kazi’ 

Fally Ipupa na Diamond kwenye ukumbi kutakapotolewa tuzo hizo.

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.