Saturday, May 17, 2014

ADAM KUAMBIANA AFARIKI DUNIA

 
Muigizaji na Muongozaji wa filamu za Bongo Movie Adam Philip Kuambiana amefariki dunia ghafla leo asubuhi kutokana na Maumivu ya Tumbo yaliyoanza asubuhi ya leo wakati akiwa anashoot movie yake na kina Q Chillah, Adam Kuambiana alilalamika kuwa tumbo linamuuma na kuwaomba wenzake wamuwahishe hospitali na kabla ya kufika njiani akapoteza maisha, mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitali ya taifa Muhimbili, na kwa wakati huu waigizaji, wadau mbalimbali na wana familia wako maeneo ya Leaders Club kwa ajili ya kujadili msiba wa Adam Kuaambiana.

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.