Wednesday, August 31, 2016

Povu La Wema Sepetu Kwa Followers Wake Instagram (Wakubwa Tu)

Mrembo asieisha kutengeneza vichwa vya habari kunako industry burudani ya Tanzania malkia Wema Sepetu amewatolea uvivu mashabiki maandazi wanaomfollow kwenye mtandao wa instagram kwa ajili ya kumporomoshea mitusi daily.
 Picha linaanza Wema Sepetu aliweka post yake kwa raha zake mwenyewe, dakika chache baadae alijitokeza shabiki maandazi ambae aliacha bonge la tusi kwenye picha hiyo.
 Kitendo cha shabiki huyo mmoja kuachia tusi lake ni kama aliita timu yake kwani ghafla liliibuka kundi la watu walioacha komenti nyingi chafu kwenye picha ya mrembo huyo.
Angalia Hapa.
Hapo ndipo mrembo Wema aliamua kujibishana na mashabiki zake hao ambao mwisho wa siku waliamua kukaa kimya baada ya kuona madame amegeuka Simba.


WEMA SEPETU AONGELEA KUHUSU KURUDIANA NA DIAMOND:

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.