Showing posts with label Wema Sepetu. Show all posts
Showing posts with label Wema Sepetu. Show all posts

Wednesday, November 9, 2016

VIDEO:Wema Sepetu kuitambulisha filamu yake na Van Vicker siku ya wapendanao.

'Queen Of Drama'-Wema Sepetu anatarajia kuizindua filamu yake aliyomshirikisha Muigizaji kutoka nchini Nigeria,Van Vicker inayofahamika kama 'Day After Death' siku ya Valentine Day.


Nawaona Team Wema nawaona....!!...mnakula tu Ubuyu..msikilizeni Madam sasa.



Friday, November 4, 2016

U HEARD:Munalove adaiwa kuiba nguo ya ndani ya Mama Wema na kuipeleka kwa Mganga.

Baada ya 'Queen Of Drama' Wema Sepetu,kumtolea uvivu Shost yake wa Muna Love kupitia ukurasa wake wa Instagram akimtuhumu kumgeuza Mama yake Ndondocha,Hatimae Mhariri Mkuu wa Makorokocho,Soudy Brown amefikishiwa ubuyu na kuwavutia waya wahusika.


Kwenye ukurasa wake wa Instagram Wema aliandika;

Image result for wema na muna

Wednesday, October 12, 2016

Wema Sepetu Amshushua Shabiki Mtandaoni.


Alipotangaza kuivunja #TeamWema wengi waliichukulia kama masihara lakini kwa hiki alichokifanya mrembo Wema Sepetu ni dhahili malkia huyo wa movie za Bongo yuko serious.
 Wema Sepetu amemchana shabiki aliepost picha yake (Wema) akiwa na Ex- wake Idris Sultan na kuipa caption "Mood"

ANGALIA HAPA ALICHOKIJIBU WEMA SEPETU:

Thursday, September 22, 2016

VIDEO:Diamond amrudisha Wema Sepetu kwa Idris Sultan kiaina.



Wakati kasheshe la kukutwa kwa hereni ya Mwanamke chumbani kwa Mama watoto wake Zari The Boss Lady likiendelea kufukuta,Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond amepost video ya aliekua X-Girl wake Madam Wema Sepetu akiimba wimbo wake mpya "Salome" na kuandika ujumbe ambao baadhi ya mashabiki wanahisi Diamond anajaribu kulirudisha penzi kati ya Mshindi wa BBA-2015 Idirs Sultan na Wema Sepetu ambao mapenzi yao yanadaiwa kuyeyuka tangu mwanzoni mwa mwezi July Mwaka huu.


"Hivi huku patakuwa ni kupatwa kwa nini....??? Tisha sana #SALOME wake @idrissultan full Video link in my BIO and @rayvanny BIO☝.....Shukran sana".Ameandika Diamond.


 Hizi ni baadhi ya coment za mashabiki;
 

Wednesday, August 31, 2016

Povu La Wema Sepetu Kwa Followers Wake Instagram (Wakubwa Tu)

Mrembo asieisha kutengeneza vichwa vya habari kunako industry burudani ya Tanzania malkia Wema Sepetu amewatolea uvivu mashabiki maandazi wanaomfollow kwenye mtandao wa instagram kwa ajili ya kumporomoshea mitusi daily.
 Picha linaanza Wema Sepetu aliweka post yake kwa raha zake mwenyewe, dakika chache baadae alijitokeza shabiki maandazi ambae aliacha bonge la tusi kwenye picha hiyo.
 Kitendo cha shabiki huyo mmoja kuachia tusi lake ni kama aliita timu yake kwani ghafla liliibuka kundi la watu walioacha komenti nyingi chafu kwenye picha ya mrembo huyo.
Angalia Hapa.
Hapo ndipo mrembo Wema aliamua kujibishana na mashabiki zake hao ambao mwisho wa siku waliamua kukaa kimya baada ya kuona madame amegeuka Simba.


WEMA SEPETU AONGELEA KUHUSU KURUDIANA NA DIAMOND:

Tuesday, August 30, 2016

Mzee Majuto Na Wema Sepetu Hii Movie Iliishia Wapi?

Mzee Majuto Na Wema Sepetu.
Takribani miaka miwili sasa tangu tuliposikia huenda ikafanyika movie kati ya mastaa Wema Sepetu pamoja na mkali wa vichekesho Afrika Mashariki "King Majuto" ambayo pia ingemuhusisha mbongoflava Diamond Platnumz ambae alikua mpenzi wa Wema Sepetu Enzi hizo.
Diamond Platnumz Na Mzee Majuto.
Kwenye moja ya interview zake Mzee Majuto aliwahi kukaliliwa kuwa huenda movie hiyo ingefanyika kana alivyonukuliwa hapa     “Hivi karibuni nilikuwa na Wema, nimemwambia aongee na Diamond ili tufanye filamu ya pamoja,” amesema Majuto. “Mimi, Wema na Diamond, hata Diamond ninaweza kuzungumza naye sema nimeanza na Wema kwanza, akikubali mtasikia tu.”.a
Macho na masikio ya wapenzi wengi wa burudani yalielekezwa kwa mastaa hawa watatu huku kila mmoja akiwa na mtazamo wake jinsi movie hiyo ambavyo ingekua.
 Mpaka sasa ni muda umepita na hatusikii chochote kuhusu hilo au ni tofauti zilijitokeza katikati ya zilipendwa hao ndio zilipeleke kuahirishwa kwa zoezi hilo?aele  M


ANGALIA HII YA MZEE MAJUTO AKICHEZA KUNG-FU

Thursday, August 18, 2016

DIAMOND PLATNUMZ AFUNGUKA BAADA YA UBUYU JUU YA KU #KWICHIKWICHI NA WEMA SEPETU


TAKRIBANI MWEZI MMOJA NA NUSU SASA KUMEKUWEPO NA UBUYU WA JUU YA KURUDISHWA KWA MAHUSIANO YA W NA D, WIKI ZA HIVI KARIBUNI UBUYU HUO UKAZIDI KUWA MTAMU KUTOKANA NA WAWILI HAO KUJA NA UTARATIBU WA KUPOSTIANA (MA MCM VEPEEE) KWENYE MITANDAO KIASI CHA KWAMBA HADI WANACHAMA WAANDAMIZI WA KAMBI ZAO NAO KUONEKANA WAKIWA PAMOJA
.
SHIRIKA LA WAMBEA DUNIANI LIKAINGIA MZIGONI NA KUMTAFUTA DIAMOND KUPITIA SIMU YAKE YA MKONONI, MAZUNGUMZO KATI YA D NA MWAKILISHI WA #SHILAWADU NDUGU SOUDYBROWN YALIKUA HIVI, NANUKUU
.
SOUDYBROWN: HALLO
.
DIAMOND: HALLO, NANI?
.
SOUDYBROWN: NDUGU YAKO HAPA GOSSIP COP
.
DIAMOND: OHOO KUMBE WE MBEAA, DAH😨😨... EHE KUNA NINI TENA HUKO MAANA NIPO MAZOEZINI (kauli ya Kujihami)
.
SOUDYBROWN: HAMNA KITU NIMEKUPIGIA KUKUSALIMIA TU 😁
.
DIAMOND: SIDHANI
.
SOUDYBROWN: KWENU MNA ASILI YA NDOA ZA MITALA?
.
DIAMOND: OFCOZ MBONA NINAO NDUGU WANA WAKE WAWILI WAWILI, MI SI MUISLAM RUKSA
.
SOUDYBROWN: HIVI KATI YA ZARI NA WEMA UNAMCHAGUA NANI?
.
DIAMOND: NAMCHAGUA NANI KI VIPI?
.
SOUDYBROWN: KWICHI KWICHI
.
DIAMOND: SOUDY NIPO MAZOEZINI, TUONGEE BAADAE
.
SOUDYBROWN: NASKIA WEMA ANAKUJAGA KUBINJUKA KWAKO CKU HIZI, CKU NYINGINE MADALE CKU NYINGINE PALE PALE WCB 🙈
.
DIAMOND: NANI AMEKUAMBIA? 😨
.
SOUDYBROWN: KATI YA ZARI NA WEMA UNAAAAA.... NANI?
.
DIAMOND: SORRY NTAKUCHEKI BAADAE KUNA MAZOEZI HUKU
.
AKA KATA SIMU FASTA
.
JAMANI YANI KASHINDWAJE KUJIBU KIJISWALI HIKI?
KUNAYO NAMNA 🙈🙈
.
Post kwa niaba ya Shirika la Wambea Duniani
.
Mi simoooooo
.
@Shilawadu #Hatushindwi

 

ANGALIA HAPA VIDEO MPYA YA SAMATA A- KODO



You Heard | Wema Sepetu Kuhusu Kurudiana Na Diamond, Bifu Na Zari Je?

Penzi la mwendokasi limeri-potiwa kuzinduliwa upya mara baada ya zilipendwa Sepenga na Mondi kuonekana kunyemeleana kiaina,
 Sasa basi Gossip Cop +SOUDY BROWN  ameona ubuyu usikupite amemvutia waya madame Wema Sepetu na alikuwa na haya ya kufunguka.

Bonyeza Hapa Kumsikiliza Wema Sepetu.






ANGALIA HAPA KICHUPA CHA SAMATA A - KODO





Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.