Thursday, September 22, 2016

Picha:Kilimanjaro Queen's yapokelewa Dar.


Kilimanjaro Queens imetua Dar ikiwa na kombe la CECAFA Women’s Championship 2016 walilolitwaa nchini Uganda kwa kuifunga timu ya taifa ya wanawake ya Kenya Harambee Starlets kwa magoli 2-1.


 Timu hiyo imepeta mapokezi kutoka kwa viongozi wa serikali kupitia Wizara yenye dhamana ya michezo, viongozi wa TFF pamoja na mashabiki ambao walijitokeza kwenye uwanja wa ndege wa Mw. JK Nyerere.


Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.