Friday, October 21, 2016

U - HEARD | Msanii Wa Bongoflava Afumaniwa Akipenzika Na Mke Wa Mtu

Mjini siku hizi kuna wadudu wafekenyuzi wa mambo wanaitwa Shilawadu hata ufanye jambo la siri ukiwa peke yako watajua tu...
 Leo shilawadu wamemfikishia Mhariri mkuu wa Gazeti La Makorokocho Ubuyu tena video kabisa ya mwanamuziki wa Bongoflava akishushiwa kichapo mara baada ya kufamaniwa akipenzika na mke wa mtu...
Picha linaanza mwenye mke wake alisafiri ndugu yete akahamia kwa baby kubebika maraia si wakamtonya mwenye mke akiwa safarini akatuma majeshi yake..
Unataka kuupata Ubuyu Mzima?  Bonyeza Play Kwenye Video Hii Hapa Chini

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.