Wednesday, July 24, 2013

U HEARD : JAMAA AMWAGA CHOZI BAADA YA KUMFUMANIA WIFE WAKE NA DIRECTOR WA BONGO MOVIE (ENOCK KOBELO)


KATIKATI NI ENOCK KOBELO MUONGOZAJI WA FILAMU WA SAUTI NA PICHA
Jamaa mmoja anayeishi maeneo ya Ubungo, Juzi kuamkia jana majira ya saa 5 usiku alimfumania wife akiwa na mdau wa Bongo Movie anayefahamika kwa jina la Enock Kobelo (Director & Editor) kabla ya kuwafumania Emanuel amefunguka kuwa siku ya Tukio yeye alimkuta wife wake anaongea na simu, akamuuliza anaongea na nani? akajibiwa kuwa "Naongea na Kaka Yangu" jamaa akatilia shaka simu hiyo, basi wakati wakiwa wamekaa za ndani mara message ikaingia kwenye simu ya Wife wake, Jamaa akampokonya simu mke wake na kutoka nayo Nje, kuichungulia akashtukia kuwa ni ujumbe uliotumwa na Mwanaume ambaye walikuwa wanapanga na huyo mwanadada wakutane kesho yake ili wakafanya mambo ya chumbani, basi jamaa akaendeleza ile chat huku akijifanya yeye ndo yule mwanamke na kumwambia bwana Enock Kobelo njoo usiku huu, Kobelo midadi ikampanda vuuup akaibuka mpaka ubungo akidhani kuwa alikua ana chat na yule mke wa mtu, kufika akazama mpaka chumbani kwa wale wanandoa, Mwenye Mke alikua nje anaangalia chezo loooote, basi baada ya muda akafata nyuma lakini mlango akakuta umefungwa kwa ndani ndo ikabidi avunje na kuzama ndani, lahaulaaaaaaaaaaaa
anakuta Wife wake yuko na Upande mmoja wa Kanga ndembendembeeee, Jamaa Huyo (Emanuel) huku akiwa ameshika Panga, Kisu Na Bisibisi akamuamrisha Kobelo avue Suruali alipoona anabisha bishaa akamlazimisha na kuanza kukata ule mkanda mpaka nguo boxer zikashuka, Timbwili ndo lilianzia hapo ile anataka kugusisha Ndude yake kwenye makalio ya mgoni wake ndo akatokea polisi mmoja anayeishi chumba cha jirani na kumnasua Emanuel ili asije kuzamisha Ndude yake kwa mchizi, Polisi alipofanikiwa kesi ikahamia katika Kituo cha polisi jirani.
Skiza sauti hapo chini upate mchapo mzima.

Skiza na Muendelezo


Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.