MISS TANZANIA HAPINESS MAGESE: UGUMBA WAHARIBU KIBOFU CHAKE CHA MKOJO
Mwanamitindo aliyewahi kuwa Miss Tanzania Happiness
Millen Magese anasihi wanawake kucheki afya zao mara kwa mara wasije wakakutwa
na tatizo kama lake la ugumba ambalo limeharibu na kibofu chake.