Juzi pale tanzania house of talent tht ilipigwa futari
ambayo ilihudhuriwa na wadau muhimu wa muziki wa bongo flava kuanzia wasanii
wataarishaji wa muziki managers vyombo vya habari ikiwemo tv stations, radio na
blogs, na baada ya mkurugenzi wa tht alitoa tuzo watu wenye mchango mkubwa kwa
kituo hicho
Akiwemo musa vipaji vingi ambaye ni kijana watatu kufika
katika kituo hicho baada ya kutolewa mtaani, mwingine mwasiti yeye alipewa tuzo
kutokana kuipeperusha bendera t.h.t vizuri bila scandal za kumchafua,
mtaarishaji wa muziki emma the boy alipata tuzo kwasababu amekua akifanya kazi
kwa nguvu bila kuchoka, pamoja mwanafunzi wa darasa jipya anaitwa hamadi
aliyepata tuzo kutokana na utiifu na kuthamini anayofundishwa.
|
Mwasiti akikabidhiwa Tuzo na Mkurugenzi wa Tanzania House of Talent Ruge Mutahaba |
|
Ditto akikabidhiwa Tuzo na Mkurugenzi wa Tanzania House of Talent Ruge Mutahaba |
|
Producer Imma The Boy akikabidhiwa Tuzo na Mkurugenzi wa Tanzania House of Talent Ruge Mutahaba |
|
Hamadi Super Star ajaye akikabidhiwa Tuzo na Mkurugenzi wa Tanzania House of Talent Ruge Mutahaba |