Sunday, September 11, 2016

Ajibu na Mavugo waendeleza ubabe wa Simba dhidi ya Mtibwa Suger.

Magoli ya Ibrahim Ajibu na Laudit Mavugo yametosha kuifanya Simba iendeleze ubabe mbele ya Mtibwa Sugar baada ya kuifunga kwa mara nyingine tena kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara.Magoli yote ya Simba yamefungwa katika kipindi cha pili baada ya timu hizo kutoka suluhu katika dakika 45 za kipindi cha kwanza.




Dondoo kwa namba:

30 -Namba kubwa zaidi ya jezi ilivaliwa na golikipa wa Mtibwa Sugar Abdallah Makangana.

10 -Pointi ambazo Simba imefikisha baada ya mchezo dhidi ya Mtibwa.

6 Pointi za Mtibwa baada ya kucheza mechi nne. Imeshinda mechi mbili na kupoteza michezo miwili.

9 Mtibwa wapo nafasi ya tisa kwenye msimamo wa ligi baada ya mchezo dhidi ya Simba.

2 Simba ipo nafasi ya pili kwenye msimamo wa VPL ikiwa na pointi 10 sawa na Azam FC wanaoongoza ligi.








Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.