Thursday, September 15, 2016

Matembezi ya hisani kwa wahanga wa tetemeko Sept.17.

Matembezi hayo yaliyopewa jina la ‘Walk For Kagera’ yatafanyika Jumamosi, September 17. Yatafanyika kuanzia Police Officer’s Mess saa saa 12 asubuhi, huku ada ya ushiriki ikiwa ni shilingi 10,000 za kitanzania.
Matembezi hayo ya hisani yameandaliwa na Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki ikishirikiana na ofisi ya waziri mkuu,ambapo lengo kuu la matembezi hayo likiwa ni kuchangisha fedha za kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.