Sunday, September 18, 2016

Picha:Msichana aliejichora tatoo ya Ali Kiba baada ya kupagawishwa kitandani.

Wakati Ali kiba na Diamond walipokutana kwenye jukwaa moja mjini Mombasa kuna mambo mengi yaliyotokea nyuma ya pazia.Miongoni mwa issue zilizo-trend baada ya show kumalizika ni pale ambapo mrembo mmoja anaefahamika kama Bridget Achieng  alipoamua kuvujisha siri nzito kati yake na Ali kiba baada ya kuamua kuchora mchoro wa tatoo wenye jina la hit maker wa singo ya "Aje",Ali Kiba.
 Tetesi  zinadai kuwa,mrembo huyo alifikia uamuzi wa kuchora tattoo hiyo ya "King Kiba" baada kupagawishwa na shughuli ya Kiba kitandani kiasi cha kuamua kuchora tattoo hiyo kama  sehemu ya kukubali mtiti wa sita kwa sita kutoka kwa Mwanamuziki huyo.

A besotted Kenyan girl gets a tattoo of Ali Kiba, says she'd die for him
Mrembo huyo amedai kuwa alijisikia mtu mwenye bahati kwa kuwa msichana pekee aliepata nafasi ya kumliwaza msanii huyo wakati alipokua mjini Mombasa na kuongeza kuwa tatoo hiyo itabaku kama kumbukumbu kwenye maisha yake kuwa aliwahi ku-kwichi-kwichi na King Kiba.
 A besotted Kenyan girl gets a tattoo of Ali Kiba, says she'd die for him


A besotted Kenyan girl gets a tattoo of Ali Kiba, says she'd die for him

Image result for ali kiba




Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.