Monday, October 10, 2016

VIDEO:Baada ya kumalizika kwa Tamasha la Mombasa,Mashabiki wa Ali Kiba Kenya wamtupia lawama mitandaoni.



Baada ya kumalizika kwa tamasha la Mombasa Rocks Festival weekend hii,Tamasha lililowakutanisha mastaa wa muziki kama Chris Brown,Wizkid,Ali Kiba,Vanessa Mdee,na kundi la Sauti Soul mashabiki wa mwanamuziki Ali Kiba walioneshwa kutofurahishwa na kitendo cha hit maker wa single ya "Aje" Ali Kiba ku-perfom nyimbo chache kwa muda mfupi.

Baadhi ya post za Mashabiki wa Ali Kiba;



 Tazama Ali Kiba alivyo-perfom kwenye Tamasha hilo; 

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.