Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi) David Kafulila,amekihama chama hicho huku na kueleza kuwa anajiandaa kuhamia CHADEMA.
Mbunge huyo machachari anakumbukwa kwenye historia ya siasa za Tanzania hasa pale alipoibua bungeni sakata la ufisadi wa akaunti ya Escrow mnamo mwaka 2015.
Chanzo:Mwananchi.