Friday, December 16, 2016

PICHA:Haya ndio mapovu ya Jokate Mwogelo kwa mmrembo huyu anaejisogeza kwa Kiba.



Kwa muda mrefu sasa Mwanamitindo Jokate Mwogelo amekua akidaiwa kuwa mapenzini  na Mwanamuziki Ali Kiba ambae hajawahi hata siku moja kukiri hadharani kutoka kimapenzi na Jokate japo wameonekana mara kadhaa kwenye matukio tofauti wakipozi kimahaba.

Huenda Jokate hafurahishwi na kitendo cha Kiba kutokiri kuwa yupo mapenzini na Jojo kiasi cha mrembo huyo kutoa mapovu yake kupitia mtandao wa Snapchat,hii ikiwa ni siku kadhaa baada ya SHILAWADU kunasa picha ya King Kiba akiwa na kimwana shombeshombe kwenye pozi flani lainii.
 Inasemekana lakini...!!















Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.