Wednesday, August 13, 2014

YOU HEARD : BINTI ANYWA SUMU BAADA YA KUTOSWA NA MSANII WA BONGO FLAVA

 
Binti mmoja anayefahamika kwa jina la Yvet usiku wa kuamkia jana amekunywa sumu baada ya kushtukia mpenzi wake ambaye ni msanii wa kundi la Micharazo Becka Tittle eti ana mchepuko na alipomuuliza mpenzi wake eti akatoswa, binti ndio akarudi kwao na ilipofika mida ya usiku akachanganya madawa vikiwemo vidonge vya F******l*** akanywa ndipo mama mtu akaskia mtoto wake anaita kwa mbaali akaamka na kumkuta mwanae anatoa mapovu ikabidi amsaidie kwa kumpa maziwa na baadae kumkimbiza hospitali

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.