Tuesday, August 12, 2014

YOU HEARD : MENINAH ATAJWA KUWA NI MCHEPUKO WA DIAMOND PLATNUMZ

 
Msanii wa Bongo Flava Meninah la Divah ametajwa kuwa katika mahusiano ya kisirisiri na Diamond Platnumz inasemekana lakini eti taarifa hizo zimevuja kupitia kwa marafiki wa karibu na Meninah wamedai kuwa wawili hao walikutanishwa na moja kati ya ndugu wa Diamond na hivi karibuni katika kipindi cha Tv anacho host Meninah eti Diamond aliwahi kumkataza Meninah asishiriki kwa sababu atakutana na wanaume wengine lakini dada wa diamond Queen Darlin ambaye pia yupo katika kipindi hiko cha Tv akaahidi kumlinda wifi yake mwanzo mwisho ndio mzee akatoa ruhusa, sikiliza Interview kati Soudy Brown na Menina kama ilivyokua ndani You Heard ya XXL leo

Comments System

facebook

Disqus Shortname

Powered by Blogger.